Tangazo la Zabuni ya Uuzaji wa Nyuzi za Mkonge – Mwaka wa Fedha 2025/2026
Tangazo la Zabuni ya Uuzaji wa Nyuzi za Mkonge – Mwaka wa Fedha 2025/2026
05 Feb, 2026
Bodi ya Mkonge Tanzania inawatangazia wazabuni wenye sifa kushiriki katika zabuni ya uuzaji wa nyuzi za mkonge kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026.
Wazabuni wanaovutiwa wanashauriwa kupata maelezo zaidi kwa kuwasiliana nasi kupitia barua pepe dg@sisalboard.go.tz.
Matangazo ya hivi punde








